VCCT hufanya Campus Tour kila mwezi katika Vyuo Mbali mbali, Tangu Mwaka 2011 uanze tumeshafanya katika chuo cha Mwl Nyerere kule Kigamboni, Mabibo Fellowship, USCF Main Campus, NIT na jana ili taraehe 28 January, 2011 VCC team ilikuwa Azania Front na wanafunzi wa IFM, CBE and DIT
Senior Pastor Huruma amekuwa akitumia resources za Human Resources yaani washirika. Katika siku ya jana presenters walikuwa ni Papaa na Caroline Sije.

Wanafunzi wakimfatilia Papaa nilipokuwa naongea kuhusu "Life After Campus"

Pastor Huruma Nkone (Kulia) Akimfuatilia Papaa wakati akiongea

Studenundishats wakifuatilia Caroline Sije akifuatilia

Papaa Akikata Shule

The Musicians

Swahiba Prosper aki-moderate kwenye event
Fabulous!
ReplyDelete