Wednesday, December 26, 2012

CHRISTMAS PRODUCTION YAFANA NDANI YA VCCT

Moja ya matamasha makubwa yanayochukua nafasi hapa jijini Dar, Christmas Production inaendelea kufana. Tukio hili hufanyika kila tar 26 Disemba 2012, siku moja baada ya siku Mwokozi wetu Yesu Kristo alipozaliwa. Ninapoandika,  tukio hili linaendelea na watu wanamsifu na kumwabudu Mungu kwa namna nisiyoweza elezea. Ndani ya nyumba wapo Rivers of Joy International, Glorious Celebration, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Amani Isayah, Bomby Johnson, Samuel Yonah, President Chavala, Mc Pilipili, CASFETA Dar P & W team.   


         Mch. Dkt Huruma Nkone, Mchungaji Kiongozi na mbeba maono 

                                                                       Mch Joyce Nkone
Ukumbi umefurika; watu wanamsifu aliyezaliwa 


 Upendo Nkone


 Upendo Kilahiro

MC...Samuel Sasali


Glorious Celebration; wametuabudisha na wao wanaabudu

 Upendo Nkone naye anaabudu


MC.. Pilipili na  Chris Mauki


Ada, aina ya Upendo Nkone mwingine anayejitokezea


Vijana chipukizi, ROJI  junior wa VCCT



Watumishi wa Mungu M Timothy Kyara na mkewe; UK & TANZANIA

Upendo Kilahiro & Mpelo Kapama, Kiongozi wa Muziki na Uimbaji, VCCT


Mc & President  Chavala


Bw Hillary Samwel (Kushoto) na Bw Misericodius (kushoto) wakimtukuza Mungu



Ukumbi haukutosha. Na watoto nao hawakubaki nyumbani; walikuwepo.

Naomi Venance; Binti aliyebarikiwa kiuimbaji. Toka UDSM, Mtoto wa VCCT.

Rivers Of Joy International; Wakiongoza umati mkubwa sana wa watu Kumsifu Mungu