Tuesday, November 6, 2012

Campus Ministry In Mwanza at SAUT Nyegezi


Mmoja wa Viongozi wa Campus Ministry at VCCT Mr. Samuel Sasali alimaarufu Papaa, wiki iliyopita alikuwa katika Chuo Kikuu Cha St. Augustino Kilicho Maeneo ya Nyegezi Mkoani Mwanza.

Semika hiyo ya Siku 2 iliyokuwa na Title "Life After Campus" Ilifanyika Hapo hapo Chuoni.

Siku Ya Pili Papaa alifundisha katika Chuo Cha SAUT Mwanza katika Mji wa Nyegezi alieleza kuwa baada ya Masomo Ya Chuo Kuna Changamoto za Kijamii zinazowasubiri ambazo zinginezo wamekwisha zianza wakiwa shuleni.


Baadhi Ya Changamoto hizo ni kama ifuatavyo.
1. Changamoto ya Kupata Ajira.
2. Changamoto ya Kutunza Network Ya Marafiki.
3. Changamoto Ya Uhuru (Kujitegemea).
4. Changamoto Ya Kutekeleza Majukumu ya Kifamilia na Binafsi.

5. Changamoto ya Kupata Mwenzi Wa Maisha.


Mbali na Changamoto Hizo pia alieleza zipo Changamoto Za Kiroho na Kitaaluma zinazowakabili mara baada ya kumaliza masomo.

Mbali na Semina hiyo pia siku ya Jumamosi ilitumika kama Siku maalum ya Semina Ya Viongozi waliopo Chuoni hapo ambapo Papaa alifundisha.

 Wadau Ndani Ya Semina
 Twende sawa
 Watu Peopleeee
 Twende Sawa
 Watu Wakidaka Presence
 Usije ukasema ni Peoplez Poweer
 Twende Sawa
 Halleluja
 Huyu dada jana alitoa ushuhuda ambavyo alitupiwa mapepo kutumia Body Spray na Pete lakini Bwana akamfungua baada ya Maombi yaliyodumu kama wiki moja hapo chuoni
Ze Blogger akiaw na Wazeee Wa Vocal... Stay tune on Step Up Jumatano

Sunday, November 4, 2012

Launching of our Campus Ministry Blog


Shalom!

I'm grateful to God for giving me this special opportunity to Introduce to you our blog, vcctcampusministry.blogspot.com. For decades Victory Christian Centre Tabernacle (VCCT) (formerly Victory Christian Centre (VCC) ) has been dedicated and committed to Students Ministry. And by the grace of God we have been able to reach out thousands of Students in schools, colleges and Higher Learning Institutions through various programs. We have been conducting campus tours, fellowship visitation, Soul breakfast meeting every month, Intellectuals meeting and the Mega Event of Campus Night every year.

In expanding our ministry, we have seen a need to embrace the Information Technology so as to move with the pace of this dot com generation. Our desire is to see that this blog serves as a one stop centre for information that surrounds students and campus Life at large. The aim is to empower young professionals, equip them with the word of God and cultivate their heart of Love and passion for the Nation. The Blog will serve as a forum for students to share their knowledge across professionals and campuses and build meaningful relations and Network.

Lastly I would like to thank the VCCT Leadership, VCCT Campus ministry team and all the Christian Unions in different campuses for their genuine love and support to our vision.I would love to encourage all the students and young intellectuals to make use of this blog, feel free to register so as you can be updated with information pertaining to our programs, articles and foundational teachings essential for your Spiritual growth.

With all humility,

Rev. Dr. Huruma Nkone.