Samuel Sasali mmoja wa wadau wa Campus Ministry alifafanua kwa Kina Tabia kadha Wa Kadha Zilizo Chini ya Mwamvuli wa 1. Integrity 2. Commitment 3. Trustworthy 4. Analytic 5. Transparent 6.Sociability etc. Na Mwisho Mwenyekiti wa Fellowship akaongoza Maombi Kwa ajili ya Kutengeneza Mkakati Wa Kuandaa Wakristo Kuchukua nafasi katika maeneo yote yenye Ushawishi Katika Taifa la Tanzania.

Prayer Time Ndani Ya MCF Mabibo...
Mwenyekiti Akiomba na Keyboardist

Twende Sawa

Prayer Time

Watu wakiliitia Jina la Bwana.

Sasa jeee

Chezea Wewe Uchovu wa Kazini Jumlisha na wakufundisha

Khaa Wanakaa Kijinsia sana hawa Fellowship
Inaoneka ilikuwa moto sana
ReplyDelete