Fellowship Ya Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam Wanaoishi Kwenye Campus Ya Mabibo chini ya Fellowship ya MCF siku ya Jana Waliandaa Maalum Kwa ajili ya Semina Ya Kujifunza Tabia/Miyenendo/Sifa za Muhitimu Aliyeokoka apart from "Certificates" Ya Chuo.
Samuel Sasali mmoja wa wadau wa Campus Ministry alifafanua kwa Kina Tabia kadha Wa Kadha Zilizo Chini ya Mwamvuli wa 1. Integrity 2. Commitment 3. Trustworthy 4. Analytic 5. Transparent 6.Sociability etc. Na Mwisho Mwenyekiti wa Fellowship akaongoza Maombi Kwa ajili ya Kutengeneza Mkakati Wa Kuandaa Wakristo Kuchukua nafasi katika maeneo yote yenye Ushawishi Katika Taifa la Tanzania.
Prayer Time Ndani Ya MCF Mabibo...
Mwenyekiti Akiomba na Keyboardist
Twende Sawa
Prayer Time
Watu wakiliitia Jina la Bwana.
Sasa jeee
Chezea Wewe Uchovu wa Kazini Jumlisha na wakufundisha
Khaa Wanakaa Kijinsia sana hawa Fellowship
Inaoneka ilikuwa moto sana
ReplyDelete