Saturday, November 3, 2012
Usiku Wa Campus Night Ulikuwa Next Level Mwaka 2011
Campus Night ya Mwaka huu ambayo ilikuwa na changamoto nyingi hatimaye imefanyika Ijumaa iliyopita kaatika viwanja vya Leaders Club na kuhudhuriwa na Umati Mkubwa wa watu katika Event hiyo. Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi na Vijana walijitokeza katika Usiku huo wa "FOCUS".
Mnenaji Mkuu wa Campus Night Johannes akihudumu katika Mkesha Huo siku Ya Ijumaa.
Johannes akihudumu siku hiyo huku kwa nyuma Dr. Huruma Nkone akiwa anamfatilia.
SOS Festival Band wakifanya kweli
Mass Choir Wakiwa Jukwaani
President Chavalla akiwa na Papaa wakiangalia Move ya Campus Night
Mamaa Atu a.k.a Keziah akiwa na Marcee Paul ndani ya CN.
Wadau wa FOF wakiwa ndani ya Campus Night.
Mass Choir
Mass Choir
Sehemu Ya Umati wa Wanafunzi
Nyomiiii
Full Kwaitoooo
Mc wa Event Ya Campus Night Papaa akiwa kazini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment