Saturday, November 3, 2012

Usiku Wa Campus Night Ulikuwa Next Level Mwaka 2011



Campus Night ya Mwaka huu ambayo ilikuwa na changamoto nyingi hatimaye imefanyika Ijumaa iliyopita kaatika viwanja vya Leaders Club na kuhudhuriwa na Umati Mkubwa wa watu katika Event hiyo. Maelfu kwa Maelfu ya Wanafunzi na Vijana walijitokeza katika Usiku huo wa "FOCUS".




Mnenaji Mkuu wa Campus Night Johannes akihudumu katika Mkesha Huo siku Ya Ijumaa.



Johannes akihudumu siku hiyo huku kwa nyuma Dr. Huruma Nkone akiwa anamfatilia.



SOS Festival Band wakifanya kweli



Mass Choir Wakiwa Jukwaani



President Chavalla akiwa na Papaa wakiangalia Move ya Campus Night



Mamaa Atu a.k.a Keziah akiwa na Marcee Paul ndani ya CN.



Wadau wa FOF wakiwa ndani ya Campus Night.



Mass Choir



Mass Choir



Sehemu Ya Umati wa Wanafunzi



Nyomiiii



Full Kwaitoooo



Mc wa Event Ya Campus Night Papaa akiwa kazini

No comments:

Post a Comment