Sunday, December 29, 2013

VCCT KUSUPORT PROJECT YA LIVE AUDIO RECORDNG YA TAFES DAR ES SALAAM REGION CHOIR


Kanisa la VCCT chini ya Mchungaji kiongozi Dr. Huruma Nkone wametoa sadaka ya Upendo “A love Offering” kusuport project ya Live recording ya Audio CD ya Tafes Dar es salaam region Choir.

Mchungaji kiongozi aliwataka washirika wa VCCT kusport huduma hii ya wanafunzi wa Tafes kwa moyo wote kwani wamekuwa wakifanya kazi kubwa sana katika kubadilisha maisha ya vijana wa Vyuo viukuu.

“We are all the products of  Tafes Ministry, even myself I am a product of  Tafes, you can see how Tafes changed the life of young people who are in  our universities” Dr. Huruma Nkone 

Akikabidhi sadaka  iyo ambayo ni Zaidi ya Laki saba (Ths 700,000+) kwa niaba ya Mchungaji Dr. Nkone, Director wa Campus Ministry Mr. Samuel Sasali amesema kanisa la VCCT huwa linajiskia furaha kuwatumikia wanafunzi wa vyuo kupitia Idara yake. Na ametoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kutoacha kutumia opportunity hii ya kipekee.

Tafes Dar es salaam region Choir watafanya Recording hiyo Mwezi January 2014 katika studio za Shekaina Mbezi beach, na wameomba uwasiliane nasi kupitia ofisi ya kanisa la VCCT kama umeguswa na Huduma yao na unataka kuwachangia.

Tafes Choir wakiimba kwenye Ibada

Waimbaji wa Tafes Choir

Tafes Musician

DR. Huruma Nkone, akiongea about Tafes ministry. Behind him ni Tafes Choir


Director Papaa Sam akiongea na Tafes Choir



Director akikabidhi sadaka hiyo kwa Kiongozi wa Choir, Gwamaka wenginee ni Tafes Choir na CM member Chavala na Eunice


 

No comments:

Post a Comment