Wednesday, April 30, 2014

EV. JOHANNES AMRITZER....ATAKUWEPO VCCT TAR 11 MEI.

Tuesday, February 4, 2014

"MWAKA WA KAZI" IFM TAFES & TAFES ARDHI WAPEWA SUPPORT KUFANIKISHA MISSION TRIPS ZAO

Ni ukweli usiopingika kwamba "You can't Separate VCCT and Students". Kanisa hili limekuwa vinara wa kufanya kazi na wanafunzi wa vyuo vikuu katika kupeleka injili ya Yesu Kristo katika jamii za watu wasiofikiwa na injili iyo.

Katika kuendeleza hayo wiki hii, kanisa la VCCT lilitoa sadaka maalum ya Upendo " A love Offering" kwa ajili ya kusoport kazi ya wanafunzi wa vyuo viwili hapa Dar es salaam ambao wanajiandaa kwenda missions mwishoni mwa wiki hii.

Vyuo ambavyo vilinufaika na sadaka iyo ni IFM ambao wenyewe wanakwenda mission mkoa wa Tanga, Mkinga District, Maramba Village. wakati Ardhi University wanakwenda Mkoa wa Njombe.

Akikabidhi sadaka iyo kwa niaba ya Mch. Kiongozi Dr. Huruma Nkone, Mkurugenzi wa Campus Ministry Mr(Dr.) Samuel Sasali amewataka wanafunzi hao wajisikie nyumbani, any time they think they need us wasisite kutuona. Aliwakabidhi sadaka izo pamoja na nguo na vitu mbali mabaloi ambavyo watakwenda kuwabariki watu wa huko na kuwatakia utumishi mwema.


IFM praise Team




Ardhi team


All the best IFM


All the best Ardhi university






Sunday, February 2, 2014

VCCT WACHANGIA SAFARI YA MISSION YA WANAFUNZI WA UDSM

Kanisa la VCCT wiki iliyopita ilichangia kiasi cha zaidi laki 8, kusaidia safari ya kimisheni wa wanafunzi wa UDSM  Christian Fellowship,

Akikabidhi sadaka iyo, Mr. Sasali Samuel ambaye ni Director wa Campus Ministry, kwa niaba ya Mch. Dr. Huruma Nkone, alisema " Mioyo yetu ipo kwa ajili ya wanafunzi, na Tutakuwa tayari kuwasidia muda wowote, msiache kuja"

Kabla ya kukabidhi Sadaka iyo, wanafunzi hao walipata Fursa ya kuimba katika Ibada wakati washirika wa VCCT walipoikuwa wakitoa sdaka iyo

UDSM choir singing

The Choir

CM Leadership With UDSM Fellowship leadership


Mr. (Dr.) Samuel Sasali akikabidhi sadaka iyo




Monday, January 27, 2014

SOULBREAKFAST TOUR HOSTED BY IFM TAFES HAIJAWAHI KUTOKEA

Mwishoni mwa wiki iliyopita team yetu ya SB na Campus Ministry iliyo chini ya kanisa la VCCT linaloongozwa na Dr, Huruma Nkone, ilifanya tour kubwa sana kwa vyuo vya mjini, yaan IFM, CBE, DIT na MNMA. 

Tour hii iliambata na presentation ya Nguvu toka kwa Expert wa mambo ya mahusiono hapa Tanzania Mr. Chris Mauki, na alikuwa anazungumza na vijana on How to Build a Strong and Sustainable relationship, Mkutano huu Ulifanyika katika ukumbi wa Azania Front Luther House Basement hall, na kuhudhuriwa na Vijana wanafunzi na wasio wanafunzi zaidi ya 300. watu walikosa siti wakaamua kusimama na wengine kuchungulia kwenye madirisha ya Ukumbi huo

Baada ya talk iyo, Heart to Heart, watu walipata fursa ya kumuuliza Chriss Mauki maswali ya Papo kwa papo na kujibiwa. Baadae vijana walipata fursa ya kupata Juice na Bites na Kupiga picha za Pamoja kwenye red carpet.

LOOK WHAT HAPPENED

Watu walijaa hadi walisimama

Pst. eunice akiweka Vikombe sawa

Chriss akipiga Nondoz

Hon. Renee akiwa bize na Huduma


Acapela from CBE

Chriss akichukua Maswali


Jamaa wakaamua kumpokea Yesu

In his presence

Holly Spirit alikuwepo asee

Folen kwenda kwenye Juice hapo


Networking




Wadau kwenye Red Carpet


Organizing Team, CM na IFM Tafes


Wednesday, January 1, 2014

"GOOD NEWS" VCCT SERVICES AT YOUR CAMPUS

This is real good news for the year 2014. VCCT bring its services at your campus. Rev. Dr. Huruma Nkone through Campus Ministry has appointed the following students "Campus Coordinators" who will work directly with students at their respective Campus as far as VCCT matters are concerned. 

Pastor Nkone Consecrating these new leaders

Prayer

Happy faces of our new leaders


A hand of congratulation to new leaders

Pastor Nkone shaking hands with new leaders

These Coordinators were appointed and officially consecrated special for this assignment. They are VCCT representatives at your Campus, we encourage you to use them for the glory of God.

This is list of Coordinators with their contacts, 


S/N

NAME

PHONE NUMBER


COLLEGE/UNIVERSITY

1
Sosy
0718 551 635
ARDHI
EddaLubinza
0718 940 273
2
Kaombwe
0786 686 675
St. John
3
BenadetaKasesa
0757 916 236
UDSM-Mlimani

4
Peleus Mwijage
0763 506 679
UDSM-Mabibo
5
Benjamin John
0717 561 038
HKMU


MerianMkumbo
0787 184 785
6
Jeff Haran
0785 852 015
CBE


Ana Sylivester
0653 440 074
7
Moses Lumo
0765 309 207
DUCE

8
MazikuSimeoni
0718 598 013
Muhimbili-Chole

9
Reuben Emmanuel
0766 708 450
IFM

Yohana Bando
0755 228 047
10
ElinajaMwanga
0717 759 404
St. Joseph
11
Ezekiel Kuhoga
0713 379 003
DIT
12
JanethSilomba
0717 128 062
KIU
13
AkwelinaFaustin
0712 865 992
TUMAINI

14
ZebidaMaziku
0764 424 656
15
Michael Kichari
0757 129 776
MNMA
16
Silas Qambawayda
0657 925 368
Evin school of management
  17
Sandra steven
0652 244 656
Bagamoyo


HAPPY NEW YEAR 2014