Tuesday, November 20, 2012

Campus Night In Mbeya ni Next Next Level

Katika Weekend hii Big Events za wanafunzi zenye jina La Campus Night zimechukua mkondo wake katika mikoa ya Dodoma na Mbeya.

Blogger akiripoti kutoka Mbeya ameeleza kuwa Campus Night ya Mbeya imevunja Records ya Makusanyiko ya vijana na wanafunzi katika jiji hilo, event hiyo iliyokusanya wanafunzi zaidi ya 7000 ilikuwa na theme ya Raising The Standards.
Mwimbaji wa Injili anayevuma na ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Cha Uhasibu mkoani humo Ambwene Mwansongwe ndiye aliyeteka ukumbi kila aliposimama.
Wachekeshaji wanaovuma katika tasnia ya Gospel, King Chavalla na Mc Pilipili walinogesha Campus night yaJiji la Mbeya.
Wanenaji Wakuu Katika Usiku huo Dr. Huruma Nkone, Dr. Kimambo, Ms Rose Mushi na Mr. Msigwa wali Raise Standards za Wanafunzi.

Dr. Huruma Nkone aliyekuwa akifundusha Spiritual Transformation usiku huo alilipuka kinjilisti na kuwaambia wanafunzi 'Usharubalo na Utoz Toz,hautainua kiwango chako cha Kiroho, isipikuwa kwa kumpokea Yesu' akinukuu andiko la kutoka kwenye kitabu cha Yohana ikisema 'Mimi ndimi njia kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba Isipokuwa kwa njia ya Mimi"
Dr. Kimambo alifundisha Academic and Career Challenges zinazowakabili wanafunzi.Dr. Kimambo ambaye ni Mwajiriwa wa Serikali yaUingereza nchini Tanzania alieleza 'changamoto za mfumo wa elimu na mahitaji ya soko la ajira ni tatizo linalo wakabili wanafunzi. Tatizo la Soft Skills mbali na ule ujuzi unaopatikana vyuoni ni changamoto pia.Mbali na changamoto hizo maendeleo na matumizi ya technolojia katika mfumo globalization ni changamoto inayowakabili wahitimu wa Elimu Ya Juu.
Mwanadada aliyekuwa msemaji pekee katika Campus night na mdogo wa umri kuliko wasemaji wote Dada Rose Mushi alifundisha RaisingThe Standard Of Ladies In the Campus. Rose Mushi ambaye ni Mchumi kwa taaluma na mwajiriwa wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Aliamsha hamasa kubwa ya vijana alipoanza kufundisha kutoka kwenye Kitabu Cha Mwanzo kwenye story ya Yusufu na Mke wa Potifa. Akifundisha Usiku huo Rose Mushi alisema ili kuinua Viwango vya Kiroho Vya Akina dada katika Campus inapaswa kwanza Ujue thamani yako kama Mdada, pili inakupasa kuachana na mambo yote ambayo yanakusababishia kukushikilia kwa mwanaume kama mi kufaulu, kama ni ada, kama ni laptop kama ambavyo Yusufu alimwachia vazi Mke wa Potifa.
Somo la Mahusiano lilifundishwa na Mr. Msigwa Meneja wa tawi la CRDB katika wilaya ya Mbozi. Alieleza uhusiano wowote wa mwanaume na mwanamke hauwezi kuwa mzuri kama wahusika wana uhusiano mbaya na Mungu wao.
Praise and Worship Leaders. Mr and Mrs Matthew Sasali

Event hiyo ilisimamiwa na Dr. Nyanda pamoja na Ze Blogger. Praise Team ilisimamiwa na Pastor Matthew Sasali na Rebecca Sasali
Dr. Nyanda, Rose Mushi na Papaa Ze Blogger hapo ilikuwa saa 1 Asubuhi baada ya event.

Matukio Katika Picha.
 Sehemu Ya Umati Wa watu
 Mrs. Rebecca Sasali akiongoza Praise Team
 Wanafunzi Waliotoka Mbele Kumpa Yesu Maisha Yao Zaidi ya wanafuzi 90 walimpa Yesu Maisha yao.
 Ndani Ya Uwepo
 Watu Wakienda Sawa ndani ya Ukumbi
 Full Shangwe Wanafunzi Wa Mbeya
 Chezea Nyomi
 Respected Event Manager Papaa Ze Blogger ndani ya Ukumbi
 Ukumbi Mzima Kidole namba tatuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 Watu Wakimpa Yesu Maisha Yao.
 Rose Moshi Kikazi zaidi
 Chezea Urefu
 Wakienda sawa
 Huu Mwili Khaaaa
 Pilipili Kikazi Zaidi ndani ya Mbeya
 Kikazi Zaidi hapa
 Safari Hii akaja na Style ya Sketi aiseeee ilikuwa nouma inaitwa "Usiombe Kusutwa'
 Dr. Maboko akizungumza kwenye Campus Night
 King Chavallaaaaaaaa akienda sawa ndani ya Campus Night
Jamaa kumbe akivua Kofia ni handsome sanaaaaaaaa

Wednesday, November 14, 2012

Home, Sweet Home! [Devotional]

Dear beloved students wherever you are, greetings in the might name of our Lord Jesus Christ!

I have this devotional for you today: Home, Sweet Home!

1 Thes.2:1-12

I suppose I had many reasons for taking the train home from college so many holidays. I did bring back bags of books and clothes, like most college guys. But the real reason was that nothing felt quite like home. Nothing was quite as comfortable as Mom cooking in the tiny kitchen, etc.

Home was warm, comfortable, a place where I was welcomed and loved even if I was a college man now, and out on my own. Home had a climate all its own.

Paul understood this as well as anyone. He knew that home is the one really effective climate for evangelism and for spiritual growth. So Paul not only brought others the Gospel in word, he created a sense of family by the way he loved every member of the Thessalonian church.

What people need today, perhaps even more than in other times, is that climate of warmth, intimacy, and caring that marks a loving home. The church (fellowship) that provides this climate will be sure to grow. And its members will become mature.

Personal Application


Build your church (fellowship) as birds build nests—one tiny twig of love at a time.

Quotable: We Exist To Provide Love And Care For One Another...

through sharing each other's needs, burdens, and joys through serving each other in a sacrificial way through learning how to love and be loved.

God in His grace, has given us to each other. An integral part of our life as His body is caring for and supporting each other.—From the Mission Statement, Crossroads Community Church.
Yours,
Dr. Huruma Nkone

VCCT Campus Ministry ndani Ya Mabibo Fellowship "Qualities Of a Christian Graduate"

Fellowship Ya Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam Wanaoishi Kwenye Campus Ya Mabibo chini ya Fellowship ya MCF siku ya Jana Waliandaa Maalum Kwa ajili ya Semina Ya Kujifunza Tabia/Miyenendo/Sifa za Muhitimu Aliyeokoka apart from "Certificates" Ya Chuo.

Samuel Sasali mmoja wa wadau wa Campus Ministry alifafanua kwa Kina Tabia kadha Wa Kadha Zilizo Chini ya Mwamvuli wa 1. Integrity 2. Commitment 3. Trustworthy 4. Analytic 5. Transparent 6.Sociability etc. Na Mwisho Mwenyekiti wa Fellowship akaongoza Maombi Kwa ajili ya Kutengeneza Mkakati Wa Kuandaa Wakristo Kuchukua nafasi katika maeneo yote yenye Ushawishi Katika Taifa la Tanzania.



Prayer Time Ndani Ya MCF Mabibo...



Mwenyekiti Akiomba na Keyboardist



Twende Sawa



Prayer Time



Watu wakiliitia Jina la Bwana.



Sasa jeee



Chezea Wewe Uchovu wa Kazini Jumlisha na wakufundisha



Khaa Wanakaa Kijinsia sana hawa Fellowship

Tuesday, November 13, 2012

Campus Night In Singida


Wanafunzi Wa Mkoa Wa Dar-es-Salaam Chini Ya Tafes Waadhimisha Wiki la Uinjilisti Pamoja

Wanafunzi wa Elimu Ya Juu Katika Vyuo Mbalimbali Katika Mkoa wa Dar-es-Salaam walio chini ya affiliation ya TAFES wamehitimisha wiki la Uinjilisti kwa kufanya Ibada Maalum katika Kanisa la DPC lililo Dar-es-Salaam.
Katika Ibada hiyo iliyoanza majira ya saa 8 Mchana na Kuhudhuriwa na Wanafunzi, Tafes Staff, Associates na Watumishi wengine ilikuwa ya aina yake siku ya jana. Pastor Safari pamoja na Rivers Of Life ndio walioongoza Praise and Worship kwa siku ya Jana.

Pastor Carlos kama ilivyo ada ya Karama yake ya Ualimu alifundisha namna ya kuwafikia wengine kupitia kubadilishwa kwako kupitia neno. Akifundisha katika Jioni ya Jana Pastor Carlos alisema "You cant live a life of impact, without being impacted kwanza, huwezi kuwafikia wengine kabla wewe mwenyewe hujafikiwa kwanza, ni lazima neno liwe limefanya jambo kwenye maisha yako ndipo utakapoweza kutenda jambo kwa wengine"Tafes ni Organization inayofanya Kazi na wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Juu hapa Tanzania kwa Kuwafikia kwa neno la Mungu na Kuwafundisha kwa ajili ya maisha ya Utauwa na Ucha Mungu. Tafes haipo chini ya dhehebu fulani ni Interdenominational Organisation.

Pia katika Siku ya Jana alikuwepo Director wa Tafes Tanzania, Mr. Rex, Alikuwepo Makamu Mwenyekiti wa Board Mr. Ben na Pia alikuwepo Mwenyekiti wa Tafes Mkoa wa Dar-es-Salaam Mr. Simalenga.



 Inter Collage Praise Team Ikihudumu siku ya Jana Ndani ya DPC




 Twende Kazi




 Kulia Viongozi wa Taifa na Mkoa wakiwa kwenye Ibada




 Wanafunzi ndani ya DPC




 Pastor Carlos akishusha nondo




 Twende Kazi Jembe




 Amepona kabisa Mguu kwa sasa




 Ze Blogger Ndani ya Tafes

Campus Night Mbeya Kutikisha Jiji Ijumaa Hii



Ijumaa Hii Katika Jiji la Mbeya, Raising The Standard Campus Night Inachukua mkondo wake katika Viwanja Vya Chuo Cha TEKU.Kama ilivyo Ada Ya Campus Night Event, Wanafunzi Kutoka Katika Kila Kona Ya Jiji la Mbeya Watakutana Katika usiku Huo Kwa ajili ya Kusifu, Kujifunza na Kuomba Kwa ajili ya Taifa la Tanzania. Campus Night Ya Mbeya Imekutanisa Watu Mbalimbali ambao Watahudumu katika Event Hiyo. Ndani Ya Campus Night atakuwepo.




Dr. Huruma Nkone Kama Mnenaji Katika Topic Ya Spiritual Transformation.
Dr. Mambo ataongelea Academic and Career Challenges
Dr. Norman Sigalla DC wa Mbeya ataongelea The Need Of Leadership In Tanzania
Ms. Rose Mushi ataongelea. The Raising of The Standard Of Ladies in The Campus.





Mr. C. Msigwa ataongelea The Challenges of the Relationship
Kazi Kubwa Ya Usiku Huo Wa Raising Of The Standard Itaongozwa naDr. Elias Nyanda and Papaa Ze Blogger.




Mc Nambari One, Dr. Elias Nyanda.




Mc Nambari 2....Papaa Ze Blogger

Vikundi Mbalimbali Vya Uimbaji Mkoani Mbeya Vitakuwepo Siku Hiyo.Kwenye Comedy

Kind Chavalla Sambamba na Mc Pilipili Watakuwa Ndani Ya Nyumba.

Get Ready Campus Night Singida 23 November, Campus Night Morogoro 30 November.

Tuesday, November 6, 2012

Campus Ministry In Mwanza at SAUT Nyegezi


Mmoja wa Viongozi wa Campus Ministry at VCCT Mr. Samuel Sasali alimaarufu Papaa, wiki iliyopita alikuwa katika Chuo Kikuu Cha St. Augustino Kilicho Maeneo ya Nyegezi Mkoani Mwanza.

Semika hiyo ya Siku 2 iliyokuwa na Title "Life After Campus" Ilifanyika Hapo hapo Chuoni.

Siku Ya Pili Papaa alifundisha katika Chuo Cha SAUT Mwanza katika Mji wa Nyegezi alieleza kuwa baada ya Masomo Ya Chuo Kuna Changamoto za Kijamii zinazowasubiri ambazo zinginezo wamekwisha zianza wakiwa shuleni.


Baadhi Ya Changamoto hizo ni kama ifuatavyo.
1. Changamoto ya Kupata Ajira.
2. Changamoto ya Kutunza Network Ya Marafiki.
3. Changamoto Ya Uhuru (Kujitegemea).
4. Changamoto Ya Kutekeleza Majukumu ya Kifamilia na Binafsi.

5. Changamoto ya Kupata Mwenzi Wa Maisha.


Mbali na Changamoto Hizo pia alieleza zipo Changamoto Za Kiroho na Kitaaluma zinazowakabili mara baada ya kumaliza masomo.

Mbali na Semina hiyo pia siku ya Jumamosi ilitumika kama Siku maalum ya Semina Ya Viongozi waliopo Chuoni hapo ambapo Papaa alifundisha.

 Wadau Ndani Ya Semina
 Twende sawa
 Watu Peopleeee
 Twende Sawa
 Watu Wakidaka Presence
 Usije ukasema ni Peoplez Poweer
 Twende Sawa
 Halleluja
 Huyu dada jana alitoa ushuhuda ambavyo alitupiwa mapepo kutumia Body Spray na Pete lakini Bwana akamfungua baada ya Maombi yaliyodumu kama wiki moja hapo chuoni
Ze Blogger akiaw na Wazeee Wa Vocal... Stay tune on Step Up Jumatano