Wednesday, April 30, 2014

EV. JOHANNES AMRITZER....ATAKUWEPO VCCT TAR 11 MEI.

Tuesday, February 4, 2014

"MWAKA WA KAZI" IFM TAFES & TAFES ARDHI WAPEWA SUPPORT KUFANIKISHA MISSION TRIPS ZAO

Ni ukweli usiopingika kwamba "You can't Separate VCCT and Students". Kanisa hili limekuwa vinara wa kufanya kazi na wanafunzi wa vyuo vikuu katika kupeleka injili ya Yesu Kristo katika jamii za watu wasiofikiwa na injili iyo.

Katika kuendeleza hayo wiki hii, kanisa la VCCT lilitoa sadaka maalum ya Upendo " A love Offering" kwa ajili ya kusoport kazi ya wanafunzi wa vyuo viwili hapa Dar es salaam ambao wanajiandaa kwenda missions mwishoni mwa wiki hii.

Vyuo ambavyo vilinufaika na sadaka iyo ni IFM ambao wenyewe wanakwenda mission mkoa wa Tanga, Mkinga District, Maramba Village. wakati Ardhi University wanakwenda Mkoa wa Njombe.

Akikabidhi sadaka iyo kwa niaba ya Mch. Kiongozi Dr. Huruma Nkone, Mkurugenzi wa Campus Ministry Mr(Dr.) Samuel Sasali amewataka wanafunzi hao wajisikie nyumbani, any time they think they need us wasisite kutuona. Aliwakabidhi sadaka izo pamoja na nguo na vitu mbali mabaloi ambavyo watakwenda kuwabariki watu wa huko na kuwatakia utumishi mwema.


IFM praise Team




Ardhi team


All the best IFM


All the best Ardhi university






Sunday, February 2, 2014

VCCT WACHANGIA SAFARI YA MISSION YA WANAFUNZI WA UDSM

Kanisa la VCCT wiki iliyopita ilichangia kiasi cha zaidi laki 8, kusaidia safari ya kimisheni wa wanafunzi wa UDSM  Christian Fellowship,

Akikabidhi sadaka iyo, Mr. Sasali Samuel ambaye ni Director wa Campus Ministry, kwa niaba ya Mch. Dr. Huruma Nkone, alisema " Mioyo yetu ipo kwa ajili ya wanafunzi, na Tutakuwa tayari kuwasidia muda wowote, msiache kuja"

Kabla ya kukabidhi Sadaka iyo, wanafunzi hao walipata Fursa ya kuimba katika Ibada wakati washirika wa VCCT walipoikuwa wakitoa sdaka iyo

UDSM choir singing

The Choir

CM Leadership With UDSM Fellowship leadership


Mr. (Dr.) Samuel Sasali akikabidhi sadaka iyo




Monday, January 27, 2014

SOULBREAKFAST TOUR HOSTED BY IFM TAFES HAIJAWAHI KUTOKEA

Mwishoni mwa wiki iliyopita team yetu ya SB na Campus Ministry iliyo chini ya kanisa la VCCT linaloongozwa na Dr, Huruma Nkone, ilifanya tour kubwa sana kwa vyuo vya mjini, yaan IFM, CBE, DIT na MNMA. 

Tour hii iliambata na presentation ya Nguvu toka kwa Expert wa mambo ya mahusiono hapa Tanzania Mr. Chris Mauki, na alikuwa anazungumza na vijana on How to Build a Strong and Sustainable relationship, Mkutano huu Ulifanyika katika ukumbi wa Azania Front Luther House Basement hall, na kuhudhuriwa na Vijana wanafunzi na wasio wanafunzi zaidi ya 300. watu walikosa siti wakaamua kusimama na wengine kuchungulia kwenye madirisha ya Ukumbi huo

Baada ya talk iyo, Heart to Heart, watu walipata fursa ya kumuuliza Chriss Mauki maswali ya Papo kwa papo na kujibiwa. Baadae vijana walipata fursa ya kupata Juice na Bites na Kupiga picha za Pamoja kwenye red carpet.

LOOK WHAT HAPPENED

Watu walijaa hadi walisimama

Pst. eunice akiweka Vikombe sawa

Chriss akipiga Nondoz

Hon. Renee akiwa bize na Huduma


Acapela from CBE

Chriss akichukua Maswali


Jamaa wakaamua kumpokea Yesu

In his presence

Holly Spirit alikuwepo asee

Folen kwenda kwenye Juice hapo


Networking




Wadau kwenye Red Carpet


Organizing Team, CM na IFM Tafes